Showing posts with label Zitto Kabwe. Show all posts
Showing posts with label Zitto Kabwe. Show all posts

Monday, 6 January 2014

Maoni kuhusiana na Mgogoro ndani ya Chadema

Kufuatia mgogoro mzito ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nimetuma maoni yafutayo kwenye gazeti la Mwananchi. Chini ya kichwa cha habari Chadema yamtimua Dk. Kitila, Mwigamba.

Demokrasia ndani ya vyama vya siasa ni suala ngeni na gumu hususan katika nchi yetu ya Tanzania. Kwa nchi kama yetu ambayo tumekulia na kulelewa katika mfumo wa chama kimoja na kutawaliwa na chama kimoja kwa muda mzima wa uhuru wetu, utamaduni wa siasa ya vyama vingi bado hujakita mzizi licha ya mabadiliko katika katiba mwanzoni mwa miaka ya 90. Minghairi ya hayo, yanayotokea Chadema ni moja wapo ya michakato ya upevu na upanuzi wa mjadala wa demokrasia nchini. Kunao wanakubalina na kunao wanapinga yanayotokea Chadema. Tuyachukulie yanayojiri ndani ya Chadema kama hatua moja wapo katika demokrasia. Demokrasia, msingi wake ukiwa katika vyama na asasi mbali mbali inajengwa kwa muda mrefu na sio rahisi. Hatua tuliyofika ya vyombo vya habari na umma kujadili kwa hisia kubwa yanayojiri ndani ya Chadema ni hatua nzuri. Tusiyachukulie tu hivi hivi bali tuombe pia vyama vingine vipate kujadili wanachama wao, kujadili mada za kitaifa na mustakabali wa nchi yetu kwa ari kama hii. Upanuzi wa mijadala ndio msingi wa demokrasia. Mungu ibariki Tanzania.

Saturday, 22 December 2012

Chadema Yateka jiji la Arusha, Lema asema Arusha ni kitovu cha mabadiliko Tanzania

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetoa rai kwamba Arusha ndio chimbuko la mabadiliko Tanzania. Mbunge aliyerudishwa baada ya kuenguliwa Godbless Lema amesema mwamko wa wananchi wa Arusha ni taswira kwamba wakati wa mapinduzi umefika. Mwaka wa 2013 umetajwa na viongozi wa Chadema kama ni mwaka wa kazi na hawatalala. Baada ya Lema kushinda kesi yake, viongozi wa Chadema wakizungumza kwenye hafla ya kumkaribisha Lema kwenye viwanja vya Kilombero, Arusha wamesema kwamba watazunguka nchi nzima kuwahamasisha wananchi kuhusu maovu ya CCM. 

Monday, 3 September 2012

CCM and Police want to make Chadema look bad: It will not work!

The killing of a TV journalist by a police tear gas canister in Iringa is another attempt by the ruling party CCM to tarnish the image of peace loving Chadema party. It has been reported that David Mwangosi of Channel Ten TV died after been hit by a police tear gas canister. Chadema are on a nationwide campaign to popularize the Movement for Change (M4C) agenda. They were opening a party branch in Mufindi South village. The Tanzanian police have come under heavy criticism lately for their blatant disregard of peaceful mass gathering more so from the opposition Chadema. It has just been few days since a young man lost his life in Morogoro town during a Chadema meeting. There is no doubt that this is a deliberate tactic by the CCM government in cohorts with the Police to tarnish the image of Chadema. The opposition party is peace loving and embodies the image for change which the people of Tanzania are now in concert. These attempts to make Chadema look as trouble rousers should be condemned outrightly,

Democratic transitions dont come smoothly. Democratic space comes with a fearless drive for change across the societal divide. The opposition party Chadema is already showing the way. Open and transparent media are trying to spearhead this despite the frivolous attempts by the government to oppress them. Civil Society Organizations, both local and international should come out strong and midwife this process. The integral component of this struggle however is the people. I must admit that the people of Tanzania are now showing signs of political maturity by embracing change. The gestation period of a democratic Tanzania is coming to birth. Let us not relent in this pursuit. Government hindrances and opposers of a democratic Tanzania should not be left to triumph, let us rise to see a Tanzania that will wake up and compete in the region, continent and globally.

I urge the people of good to drive this agenda. The party that will act as a vehicle to this process is non-other than Chadema. Long live Tanzania, long live Chadema party. God Bless Tanzania.

[ZELEZA] Malawi’s Political Earthquake: Nullification of the Presidential Elections

By Prof Paul Tiyambe Zeleza  3/2/2020 The Malawian Constitutional Court has annulled last year's presidential election results....

Most Viewed